Swali: Inajuzu kwangu kuchukua maji kutoka kwenye vyoo vya msikitini nikiwa na janaba na sina maji?
Jibu: Ni vizuri, hakuna neno. Wamewekwa kwa ajili ya kujisafisha. Chukua uende ukajisafisha nyumbani kwako.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (6) http://alfawzan.af.org.sa/node/14379
- Imechapishwa: 26/11/2016
Swali: Inajuzu kwangu kuchukua maji kutoka kwenye vyoo vya msikitini nikiwa na janaba na sina maji?
Jibu: Ni vizuri, hakuna neno. Wamewekwa kwa ajili ya kujisafisha. Chukua uende ukajisafisha nyumbani kwako.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (6) http://alfawzan.af.org.sa/node/14379
Imechapishwa: 26/11/2016
https://firqatunnajia.com/kuchukua-maji-kutoka-msikitini-kwa-ajili-ya-kuoga/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)