Swali: Je, Udhhiyah ni wajibu? Mtu akiwa ni muweza na asichinje na hivi sasa umri wake ni karibu miaka arubaini pamoja na kuwa ana pesa nyingi sasa.
Jibu: Udhhiyah ni Sunnah iliyokokotezwa kwa mujibu wa wanachuoni wengi na sio wajibu. Abu Haniyfah ndiye anaonelea kuwa ni wajibu. Lakini wanachuoni wengi wanaonelea kuwa ni Sunnah iliyosisitizwa. Ni ´ibaadah ilio kubwa katika masiku ya ´Iyd. Kwa hivyo ni ´ibaadah ilio kubwa ambayo haitakiwi kwa muislamu kuiacha ikiwa ni muweza. Mtu anaweza hata kuchukua deni. Ikiwa mtu anaweza kulipa na akawa amechukua deni ili aweze kuchinja ni jambo zuri.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa ´alaa al-Hawaa´ http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/1436-03-02.mp3
- Imechapishwa: 01/12/2017
Swali: Je, Udhhiyah ni wajibu? Mtu akiwa ni muweza na asichinje na hivi sasa umri wake ni karibu miaka arubaini pamoja na kuwa ana pesa nyingi sasa.
Jibu: Udhhiyah ni Sunnah iliyokokotezwa kwa mujibu wa wanachuoni wengi na sio wajibu. Abu Haniyfah ndiye anaonelea kuwa ni wajibu. Lakini wanachuoni wengi wanaonelea kuwa ni Sunnah iliyosisitizwa. Ni ´ibaadah ilio kubwa katika masiku ya ´Iyd. Kwa hivyo ni ´ibaadah ilio kubwa ambayo haitakiwi kwa muislamu kuiacha ikiwa ni muweza. Mtu anaweza hata kuchukua deni. Ikiwa mtu anaweza kulipa na akawa amechukua deni ili aweze kuchinja ni jambo zuri.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa ´alaa al-Hawaa´ http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/1436-03-02.mp3
Imechapishwa: 01/12/2017
https://firqatunnajia.com/kuchinja-siku-ya-iyd-ul-adhwhaa-ni-wajibu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)