Swali: Mimi nimezowea tangu nilipokuwa mdogo kuchinja kichinjwa au kwa msemo mwingine kutoa swadaqah katika mwezi wa Sha´baan katika usiku wowote wa mwezi huu. Je, kuna kitu juu yangu kwa kufanya hivo?
Jibu: Kutoa swadaqah – na khaswa zile swadaqah zenye kuendelea – ni miongoni mwa aina kubwa ya ´ibaadah. Lakini pamoja na hivyo kwa sharti iwe imeafikiana na Shari´ah takasifu, iwe imetokamana na chumo la halali na iwe imetolewa kwa njia inayokubalika katika Shari´ah. Kwa mfano kuwapa swadaqah mafukara na masikini, kujenga misikiti na mengineyo.
Haifai kutoa swadaqah katika wakati fulani kwa njia maalum ambayo haikuanishwa na Shari´ah na kuegemeza imani fulani. Ikiwa kitendo hichi amekifanya katika mwezi wa Sha´baan kwa kuamini imani fulani katika mwezi huu au katika siku yoyote basi si katika ´ibaadah zinazokubaliwa na Shari´ah.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alifta.net/Fatawa/fatawaChapters.aspx?languagename=ar&View=Page&PageID=4&PageNo=1&BookID=12
- Imechapishwa: 18/04/2018
Swali: Mimi nimezowea tangu nilipokuwa mdogo kuchinja kichinjwa au kwa msemo mwingine kutoa swadaqah katika mwezi wa Sha´baan katika usiku wowote wa mwezi huu. Je, kuna kitu juu yangu kwa kufanya hivo?
Jibu: Kutoa swadaqah – na khaswa zile swadaqah zenye kuendelea – ni miongoni mwa aina kubwa ya ´ibaadah. Lakini pamoja na hivyo kwa sharti iwe imeafikiana na Shari´ah takasifu, iwe imetokamana na chumo la halali na iwe imetolewa kwa njia inayokubalika katika Shari´ah. Kwa mfano kuwapa swadaqah mafukara na masikini, kujenga misikiti na mengineyo.
Haifai kutoa swadaqah katika wakati fulani kwa njia maalum ambayo haikuanishwa na Shari´ah na kuegemeza imani fulani. Ikiwa kitendo hichi amekifanya katika mwezi wa Sha´baan kwa kuamini imani fulani katika mwezi huu au katika siku yoyote basi si katika ´ibaadah zinazokubaliwa na Shari´ah.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alifta.net/Fatawa/fatawaChapters.aspx?languagename=ar&View=Page&PageID=4&PageNo=1&BookID=12
Imechapishwa: 18/04/2018
https://firqatunnajia.com/kuchinja-kichinjwa-katika-shabaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)