Swali: Wakati mwingine hatumalizi mihadhara isipokuwa saa 12.30 au 12.40 wakati ambapo swalah ya Dhuhr inaingia 11.30. Je, tunapata dhambi kwa kuchelewesha?
Jibu: Kuswali mwanzoni mwa wakati ndio bora zaidi. Lakini ukichelewesha kwa sababu zinazojitokeza katikati ya wakati hakuna neno. Kilicho haramu ni kuchelewesha mpaka ukatoka nje wakati wake. Ama midhali umechelewesha tu mwazoni mwa ule wakati wake ni jambo halina neno.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziy bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Nuur ´alaad-Darb http://www.alifta.net/Fatawa/fatawaChapters.aspx?languagename=ar&View=Page&PageID=1238&PageNo=1&BookID=5
- Imechapishwa: 15/03/2018
Swali: Wakati mwingine hatumalizi mihadhara isipokuwa saa 12.30 au 12.40 wakati ambapo swalah ya Dhuhr inaingia 11.30. Je, tunapata dhambi kwa kuchelewesha?
Jibu: Kuswali mwanzoni mwa wakati ndio bora zaidi. Lakini ukichelewesha kwa sababu zinazojitokeza katikati ya wakati hakuna neno. Kilicho haramu ni kuchelewesha mpaka ukatoka nje wakati wake. Ama midhali umechelewesha tu mwazoni mwa ule wakati wake ni jambo halina neno.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziy bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Nuur ´alaad-Darb http://www.alifta.net/Fatawa/fatawaChapters.aspx?languagename=ar&View=Page&PageID=1238&PageNo=1&BookID=5
Imechapishwa: 15/03/2018
https://firqatunnajia.com/kuchelewesha-swalah-mwanzoni-mwa-wakati-wake-mpaka-mwishoni-mwake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)