Swali: Nilipokuwa njiani nakuja katika darsa nilikutana na kundi kubwa wanacheza mpira wa miguu. Nikaenda kuwakataza ambapo wakaitikia. Lakini nikawa nimechelewa katika swalah. Je, napata dhambi?

Jibu: Hukukusudia kuchelewa katika swalah. Hukukusudia hili. Wewe umefanya na unapata ujira – Allaah akitaka.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (12) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-1-17.mp3
  • Imechapishwa: 11/11/2014