Swali: Leo kujitenga na watu ndio bora zaidi kuliko kuchanganyika na watu kutokamana na kuwepo kwa fitina nyingi?
Jibu: Inategemea. Ikiwa anachanganyika na watu kwa ajili ya kuwalingania katika dini ya Allaah, kuwaamrisha mema na kukataza maovu, kuwanufaisha na kuwafunza watu, lililo bora zaidi ni kuchanganyika nao. Ikiwa hana haya yaliyotajwa hapa juu au hawezi, basi kujitenga kwake na watu ni bora zaidi. Kwa sababu kuchanganyika kunamdhuru zaidi na hakumnufaishi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsirayat-12-07-1435-01_0.mp3
- Imechapishwa: 20/05/2018
Swali: Leo kujitenga na watu ndio bora zaidi kuliko kuchanganyika na watu kutokamana na kuwepo kwa fitina nyingi?
Jibu: Inategemea. Ikiwa anachanganyika na watu kwa ajili ya kuwalingania katika dini ya Allaah, kuwaamrisha mema na kukataza maovu, kuwanufaisha na kuwafunza watu, lililo bora zaidi ni kuchanganyika nao. Ikiwa hana haya yaliyotajwa hapa juu au hawezi, basi kujitenga kwake na watu ni bora zaidi. Kwa sababu kuchanganyika kunamdhuru zaidi na hakumnufaishi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsirayat-12-07-1435-01_0.mp3
Imechapishwa: 20/05/2018
https://firqatunnajia.com/kuchanganyikana-na-watu-au-kujitenga/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)