Swali: Inafaa kwa mwanamke kutumia nyusi za bandia?
Jibu: Ni aina ya uunganishaji ulioharamishwa. Anaunganisha nywele:
“Allaah amemlaani mwanamke mwenye kuunganisha nywele na mwenye kuunganishwa nywele.”[1]
Haijuzu kuunganisha nyusi, nywele wala kucha. Bali kuna mpaka kucha za bandia. Haijuzu. Ni haramu. Ni tazwiri na udanganyifu.
[1] al-Bukhariy (5941).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (61) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid-%2029%20-0%206-1438.mp3
- Imechapishwa: 06/08/2017
Swali: Inafaa kwa mwanamke kutumia nyusi za bandia?
Jibu: Ni aina ya uunganishaji ulioharamishwa. Anaunganisha nywele:
“Allaah amemlaani mwanamke mwenye kuunganisha nywele na mwenye kuunganishwa nywele.”[1]
Haijuzu kuunganisha nyusi, nywele wala kucha. Bali kuna mpaka kucha za bandia. Haijuzu. Ni haramu. Ni tazwiri na udanganyifu.
[1] al-Bukhariy (5941).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (61) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid-%2029%20-0%206-1438.mp3
Imechapishwa: 06/08/2017
https://firqatunnajia.com/kucha-bandia-nyusi-bandia-na-nywele-bandia/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)