Swali: Ni ipi hukumu ya kubusa msahafu wakati unapodondoka kutoka mahali pa juu?
Jibu: Hatujui dalili juu ya uwekwaji Shari´ah wa kuubusu. Lakini hapana neno mtu akiubusu. Kwa sababu imepokelewa kutoka kwa ´Ikrimah bin Abiy Jahl (Radhiya Allaahu ´anh), ambaye ni Swahabah mtukufu, kwamba alikuwa akiubusu msahafu na akisema:
“Haya ni maneno ya Mola wangu.”
Kwa hali yoyote kubusu hakuna neno. Lakin sio jambo lililowekwa katika Shari´ah na hakuna dalili juu ya uwekwaji Shari´ah wa jambo hilo. Lakini mtu akiubusu hali ya kuwa ni mwenye kuutukuza na kuuheshimu wakati unapodondoka kutoka mikononi mwake au kutoka mahali pa juu hapana neno kufanya hivo – Allaah akitaka.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (09/289)
- Imechapishwa: 16/07/2021
Swali: Ni ipi hukumu ya kubusa msahafu wakati unapodondoka kutoka mahali pa juu?
Jibu: Hatujui dalili juu ya uwekwaji Shari´ah wa kuubusu. Lakini hapana neno mtu akiubusu. Kwa sababu imepokelewa kutoka kwa ´Ikrimah bin Abiy Jahl (Radhiya Allaahu ´anh), ambaye ni Swahabah mtukufu, kwamba alikuwa akiubusu msahafu na akisema:
“Haya ni maneno ya Mola wangu.”
Kwa hali yoyote kubusu hakuna neno. Lakin sio jambo lililowekwa katika Shari´ah na hakuna dalili juu ya uwekwaji Shari´ah wa jambo hilo. Lakini mtu akiubusu hali ya kuwa ni mwenye kuutukuza na kuuheshimu wakati unapodondoka kutoka mikononi mwake au kutoka mahali pa juu hapana neno kufanya hivo – Allaah akitaka.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (09/289)
Imechapishwa: 16/07/2021
https://firqatunnajia.com/kubusu-msahafu-unapodondoka-kutoka-mahali-pa-juu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)