Swali: Naishi na shangazi yangu ambaye ni mwenye mwili wa kupoza. Ana watoto ambao mkubwa katika wao ana miaka nane. Ana mfanyikazi wa kike. Wakati mwingine shangazi yangu hutoka na kwenda kazini na mimi, watoto na huyo mfanyikazi wa kike tunabaki nyumbani. Je, kuna kosa kufanya hivo?
Jibu: Watoto wadogo hawasaidii kitu. Watoto wadogo ambao hawawezi kupambanua mambo hawasaidii kitu. Ikiwa ni wenye uwezo wa kupambanua hakuna neno. Ama wakiwa ni chini ya uwezo wa kupambanua hawasaidii kitu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (58) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/15-01-1438-ighastat.mp3
- Imechapishwa: 22/10/2017
Swali: Naishi na shangazi yangu ambaye ni mwenye mwili wa kupoza. Ana watoto ambao mkubwa katika wao ana miaka nane. Ana mfanyikazi wa kike. Wakati mwingine shangazi yangu hutoka na kwenda kazini na mimi, watoto na huyo mfanyikazi wa kike tunabaki nyumbani. Je, kuna kosa kufanya hivo?
Jibu: Watoto wadogo hawasaidii kitu. Watoto wadogo ambao hawawezi kupambanua mambo hawasaidii kitu. Ikiwa ni wenye uwezo wa kupambanua hakuna neno. Ama wakiwa ni chini ya uwezo wa kupambanua hawasaidii kitu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (58) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/15-01-1438-ighastat.mp3
Imechapishwa: 22/10/2017
https://firqatunnajia.com/kubaki-na-mfanyikazi-wa-kike-nyumbani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)