Swali: Je, kumepokelewa juu ya kubadili mahali pa kutekelezea Sunnah baada ya swalah kinachofahamisha juu ya kupendeza kwake?
Jibu: Hakukupokelewa juu ya hilo Hadiyth Swahiyh kutokana na ninavojua. Lakini Ibn ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) na wengi katika Salaf walikuwa wakifanya hivo. Jambo ni lenye wasaa. Kumepokelewa juu yake Hadiyth dhaifu kwa Ibn Daawuud (Rahimahu Allaah) na linaweza kutiwa nguvu na kitendo cha Ibn ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhum) na wale wema waliotangulia waliofanya hivo.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/378)
- Imechapishwa: 09/11/2021
Swali: Je, kumepokelewa juu ya kubadili mahali pa kutekelezea Sunnah baada ya swalah kinachofahamisha juu ya kupendeza kwake?
Jibu: Hakukupokelewa juu ya hilo Hadiyth Swahiyh kutokana na ninavojua. Lakini Ibn ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) na wengi katika Salaf walikuwa wakifanya hivo. Jambo ni lenye wasaa. Kumepokelewa juu yake Hadiyth dhaifu kwa Ibn Daawuud (Rahimahu Allaah) na linaweza kutiwa nguvu na kitendo cha Ibn ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhum) na wale wema waliotangulia waliofanya hivo.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/378)
Imechapishwa: 09/11/2021
https://firqatunnajia.com/kubadili-mahali-pa-kutekelezea-sunnah-baada-ya-swalah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)