Swali: Ni ipi hukumu ya kuanza kwa maneno ya Allaah katika sherehe mbalimbali?
Jibu: Hakuna neno kule kusoma Kitabu cha Allaah. Lakini watu wote wanatakiwa kuyazingatia, kuyatafakari na kuyafahamu. Ama kusoma peke yake bila kutilia umuhimu na bila kusikiliza na huku watu wamejishughulisha kutokamana nayo na wanazungumza ni jambo lisilotakikana. Kitabu cha Allaah kitukufu Allaah amekiteremsha kwa ajili ya uongofu, kisomwe na kitendewe kazi.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://shrajhi.com.sa/fatawa/45/%D8%A7%D8%A8%D8%AA%D8%AF%D8%A7%D8%A1-%D8%A7%D9%84%D9%85%D8%AD%D8%A7%D9%81%D9%84-%D9%88%D8%A7%D9%84%D8%A7%D8%AC%D8%AA%D9%85%D8%A7%D8%B9%D8%A7%D8%AA-%D8%A8%D9%82%D8%B1%D8%A7%D8%A1%D8%A9-%D8%A7%D9%84%D9%82%D8%B1%D8%A2%D9%86
- Imechapishwa: 18/01/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kuanza kwa maneno ya Allaah katika sherehe mbalimbali?
Jibu: Hakuna neno kule kusoma Kitabu cha Allaah. Lakini watu wote wanatakiwa kuyazingatia, kuyatafakari na kuyafahamu. Ama kusoma peke yake bila kutilia umuhimu na bila kusikiliza na huku watu wamejishughulisha kutokamana nayo na wanazungumza ni jambo lisilotakikana. Kitabu cha Allaah kitukufu Allaah amekiteremsha kwa ajili ya uongofu, kisomwe na kitendewe kazi.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://shrajhi.com.sa/fatawa/45/%D8%A7%D8%A8%D8%AA%D8%AF%D8%A7%D8%A1-%D8%A7%D9%84%D9%85%D8%AD%D8%A7%D9%81%D9%84-%D9%88%D8%A7%D9%84%D8%A7%D8%AC%D8%AA%D9%85%D8%A7%D8%B9%D8%A7%D8%AA-%D8%A8%D9%82%D8%B1%D8%A7%D8%A1%D8%A9-%D8%A7%D9%84%D9%82%D8%B1%D8%A2%D9%86
Imechapishwa: 18/01/2020
https://firqatunnajia.com/kuanza-kwa-kusoma-qur-aan-katika-sherehe-mbalimbali/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)