Swali: Ipi hukumu ya kuangalia musalsal [maigizo/seires] za Kiislamu katika Ramadhaan?
Jibu: Hakuna musalsal za Kiislamu. Hizi musalsal ni mchezo na pumbazo, vijekesho na kupoteza wakati. Muislamu hapotezi wakati wake hususan katika Ramadhaan kwa kuangalia musalsal na filamu. Na mchezo na pumbazo. Na huenda kuna batili na kumithili wanachuoni na watu wema au Maswahaba. Wanawamithili kwa umbile baya na la kuchekesha. Hili halijuzu. Waislamu walikuwa hawajui hizi filamu ila tu wakati zilipopatikana kwa makafiri. Kuna ufuataji wa kichwa mchunga kwa makafiri.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=3sqOdYUA4fk
- Imechapishwa: 11/01/2018
Swali: Ipi hukumu ya kuangalia musalsal [maigizo/seires] za Kiislamu katika Ramadhaan?
Jibu: Hakuna musalsal za Kiislamu. Hizi musalsal ni mchezo na pumbazo, vijekesho na kupoteza wakati. Muislamu hapotezi wakati wake hususan katika Ramadhaan kwa kuangalia musalsal na filamu. Na mchezo na pumbazo. Na huenda kuna batili na kumithili wanachuoni na watu wema au Maswahaba. Wanawamithili kwa umbile baya na la kuchekesha. Hili halijuzu. Waislamu walikuwa hawajui hizi filamu ila tu wakati zilipopatikana kwa makafiri. Kuna ufuataji wa kichwa mchunga kwa makafiri.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=3sqOdYUA4fk
Imechapishwa: 11/01/2018
https://firqatunnajia.com/kuangalia-musalsal-na-filamu-za-kiislamu-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)