Swali: Je, inajuzu kuandika majina ya Allaah kwa mkono wa kushoto? Mimi siwezi kuandika isipokuwa kwa mkono huo tu.
Jibu: Hakuna neno kufanya hivo. Ni mwenye kupewa udhuru. Lakini lililo Sunnah kwa ambaye yusalama ni kuandika na mkono wa kulia.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.binbaz.org.sa/noor/326
- Imechapishwa: 05/12/2016
Swali: Je, inajuzu kuandika majina ya Allaah kwa mkono wa kushoto? Mimi siwezi kuandika isipokuwa kwa mkono huo tu.
Jibu: Hakuna neno kufanya hivo. Ni mwenye kupewa udhuru. Lakini lililo Sunnah kwa ambaye yusalama ni kuandika na mkono wa kulia.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.binbaz.org.sa/noor/326
Imechapishwa: 05/12/2016
https://firqatunnajia.com/kuandika-na-mkono-wa-kushoto/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)