Swali: Ni ipi hukumu ya kuandika Aayah za Qur-aan kwenye kio cha gari kilichoko nyuma?
Jibu: Qur-aan haindikwi kwenye magari, kuta wala kitu kingine. Qur-aan inatakiwa kulindwa. Haiandikwi kwenye kitu kitachoipelekea katika kutwezwa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (70) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighatsah%20-%2019%20-0%207%20-%201438.mp3
- Imechapishwa: 10/09/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya kuandika Aayah za Qur-aan kwenye kio cha gari kilichoko nyuma?
Jibu: Qur-aan haindikwi kwenye magari, kuta wala kitu kingine. Qur-aan inatakiwa kulindwa. Haiandikwi kwenye kitu kitachoipelekea katika kutwezwa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (70) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighatsah%20-%2019%20-0%207%20-%201438.mp3
Imechapishwa: 10/09/2017
https://firqatunnajia.com/kuandika-aayah-za-qur-aan-kwenye-vio-vya-gari/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)