Swali: Ni ipi hukumu ya mtu kuacha anausia mirathi kwa ndugu ambao hawana haki ya kurithi? Ni lazima au inapendeza?
Jibu: Inapendeza. Kuwasaidia ndugu ambao si wenye kurithi inapendeza. Kuhusu wale wenye kurithi haifai. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hakuna wasia kwa wenye kurithi.”
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21565/حكم-الوصية-للاقارب-غير-الوارثين
- Imechapishwa: 25/08/2022
Swali: Ni ipi hukumu ya mtu kuacha anausia mirathi kwa ndugu ambao hawana haki ya kurithi? Ni lazima au inapendeza?
Jibu: Inapendeza. Kuwasaidia ndugu ambao si wenye kurithi inapendeza. Kuhusu wale wenye kurithi haifai. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hakuna wasia kwa wenye kurithi.”
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21565/حكم-الوصية-للاقارب-غير-الوارثين
Imechapishwa: 25/08/2022
https://firqatunnajia.com/kuacha-wasia-kwa-wasiokuwa-jamaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)