Swali: Mwanamke kutoka Uingereza anauliza kama inafaa kwake kuacha uso wazi mbele ya kaka yake mume? Isitoshe mama yangu hapendi mimi niivae lakini hata hivyo mimi naipenda sana. Unaninasihi nini?
Jibu: Nakunasihi kulazimiana na hukumu za Shari´ah na wala usimjali yeye wala mwengine yeyote. Hukumu ya Shari´ah inasema kufunika uso mbele ya wasiokuwa Mahram. Haijalishi kitu hata kama ni kaka yake mume.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (27)
- Imechapishwa: 15/04/2021
Swali: Mwanamke kutoka Uingereza anauliza kama inafaa kwake kuacha uso wazi mbele ya kaka yake mume? Isitoshe mama yangu hapendi mimi niivae lakini hata hivyo mimi naipenda sana. Unaninasihi nini?
Jibu: Nakunasihi kulazimiana na hukumu za Shari´ah na wala usimjali yeye wala mwengine yeyote. Hukumu ya Shari´ah inasema kufunika uso mbele ya wasiokuwa Mahram. Haijalishi kitu hata kama ni kaka yake mume.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (27)
Imechapishwa: 15/04/2021
https://firqatunnajia.com/kuacha-uso-wazi-mbele-ya-shemeji/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)