Swali: Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa pili katika ngazi ya sekondari. Mtihani mwingine utakuwa katika Ramadhaan. Kama unavyojua masiku ya mtihani mwanafunzi anakuwa anahitajia nguvu na kutoa juhudi zake kwa vile masiku ya mtihani ni yenye kufuatana mfululizo. Naona kuwa kufunga kunahitajia mapumziko na kulala. Je, inajuzu kula katika yale masiku ya mitihani kisha kuyalipa katika masiku mengine?
Jibu: Haijuzu kula kutokana na uliyoyasema. Bali imeharamishwa kufanya hivo. Kwa sababu mambo hayo hayaingii katika nyudhuru zinazomruhusu mtu kuacha kufunga katika Ramadhaan.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/240)
- Imechapishwa: 10/06/2017
Swali: Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa pili katika ngazi ya sekondari. Mtihani mwingine utakuwa katika Ramadhaan. Kama unavyojua masiku ya mtihani mwanafunzi anakuwa anahitajia nguvu na kutoa juhudi zake kwa vile masiku ya mtihani ni yenye kufuatana mfululizo. Naona kuwa kufunga kunahitajia mapumziko na kulala. Je, inajuzu kula katika yale masiku ya mitihani kisha kuyalipa katika masiku mengine?
Jibu: Haijuzu kula kutokana na uliyoyasema. Bali imeharamishwa kufanya hivo. Kwa sababu mambo hayo hayaingii katika nyudhuru zinazomruhusu mtu kuacha kufunga katika Ramadhaan.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/240)
Imechapishwa: 10/06/2017
https://firqatunnajia.com/kuacha-kufunga-ramadhaan-kwa-sababu-ya-masomo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)