Swali: Wale ambao wanaabudu makaburi na wanawaomba msaada majini na wanafanya mambo mengine ya shirki yaliyo wazi. Mtu akiwaendea watu mfano ya hawa aanze kuwalingania katika ´hapana mwabudiwa wa haki isipokuwa Allaah` au kwa msemo mwingine katika Tawhiyd au aende nao hatua kwa hatua mpaka hatimaye baada ya muda awafahamishe?
Jibu: Aanze kuwalingania Tawhiyd. Kwa sababu matendo yao hayatowanufaisha kitu isipokuwa baada ya Tawhiyd.
Swali: Baadhi ya watu wanasema kuwa watu wanakimbia kwa kuanza kwa kitu kama hicho.
Jibu: Huu ni ujinga. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alianza kwa Tawhiyd. Hakuanza kwa swalah, zakaah wala kutoa swadaqah. Bali alianza kuwalingania watamke shahaadah.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-is-Shubuhaat, uk. 131-132
- Imechapishwa: 09/09/2019
Swali: Wale ambao wanaabudu makaburi na wanawaomba msaada majini na wanafanya mambo mengine ya shirki yaliyo wazi. Mtu akiwaendea watu mfano ya hawa aanze kuwalingania katika ´hapana mwabudiwa wa haki isipokuwa Allaah` au kwa msemo mwingine katika Tawhiyd au aende nao hatua kwa hatua mpaka hatimaye baada ya muda awafahamishe?
Jibu: Aanze kuwalingania Tawhiyd. Kwa sababu matendo yao hayatowanufaisha kitu isipokuwa baada ya Tawhiyd.
Swali: Baadhi ya watu wanasema kuwa watu wanakimbia kwa kuanza kwa kitu kama hicho.
Jibu: Huu ni ujinga. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alianza kwa Tawhiyd. Hakuanza kwa swalah, zakaah wala kutoa swadaqah. Bali alianza kuwalingania watamke shahaadah.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-is-Shubuhaat, uk. 131-132
Imechapishwa: 09/09/2019
https://firqatunnajia.com/kuacha-kuanza-kuwalingania-watu-tawhiyd-kwa-sababu-eti-watakimbia/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)