Swalii: Ni jambo limewekwa katika Shari´ah kwa kila muislamu kusoma juzu kutoka katika Qur-aan ili aweze kuikhitimisha kwa mwezi?
Jibu: Ndio, kwa uchache. Angalau kwa uchache kila mwezi akhitimishe mara moja. Lau atakhitimisha kila baada ya siku kumi au kila baada ya siku tatu, kama walivokuwa wakifanya Salaf, ndio bora na vyema zaidi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (86) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/NEW.lite_.mp3
- Imechapishwa: 14/07/2018
Swalii: Ni jambo limewekwa katika Shari´ah kwa kila muislamu kusoma juzu kutoka katika Qur-aan ili aweze kuikhitimisha kwa mwezi?
Jibu: Ndio, kwa uchache. Angalau kwa uchache kila mwezi akhitimishe mara moja. Lau atakhitimisha kila baada ya siku kumi au kila baada ya siku tatu, kama walivokuwa wakifanya Salaf, ndio bora na vyema zaidi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (86) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/NEW.lite_.mp3
Imechapishwa: 14/07/2018
https://firqatunnajia.com/kiwango-cha-chini-cha-qur-aan-kwa-siku/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)