Swali: Muislamu akibainikiwa baada ya kutawadha kwamba kuna sehemu ndogo kwenye kiungo haikupatwa na maji ikiwa ni kabla hajaswali au baada ya swalah?
Jibu: Ikiwa ni baada ya swalah basi atawadhe tena na airudi swalah yake. Ama ikiwa ni kabla ya swalah, ikiwa wakati ni mfinyu na hatowahi kutawadha [kikamilifu], basi aoshe sehemu hiyo kisha akamilishe wudhuu´ wake. Kwa mfano ameona sehemu hiyo ndogo ni mkononi na wakati wa swalah umekaribia, basi aoshe sehemu hiyo kisha apanguse kichwa chake na aoshe miguu yake. Mfano mwingine sehemu hiyo ikiwa ni mguuni basi aoshe mguu wake. Lakini wakati ukiwa mpana basi arudi kutawadha upya.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (03) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/430/430.mp3
- Imechapishwa: 01/05/2018
Swali: Muislamu akibainikiwa baada ya kutawadha kwamba kuna sehemu ndogo kwenye kiungo haikupatwa na maji ikiwa ni kabla hajaswali au baada ya swalah?
Jibu: Ikiwa ni baada ya swalah basi atawadhe tena na airudi swalah yake. Ama ikiwa ni kabla ya swalah, ikiwa wakati ni mfinyu na hatowahi kutawadha [kikamilifu], basi aoshe sehemu hiyo kisha akamilishe wudhuu´ wake. Kwa mfano ameona sehemu hiyo ndogo ni mkononi na wakati wa swalah umekaribia, basi aoshe sehemu hiyo kisha apanguse kichwa chake na aoshe miguu yake. Mfano mwingine sehemu hiyo ikiwa ni mguuni basi aoshe mguu wake. Lakini wakati ukiwa mpana basi arudi kutawadha upya.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (03) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/430/430.mp3
Imechapishwa: 01/05/2018
https://firqatunnajia.com/kiungo-hakikupatwa-na-maji-kabla-au-baada-ya-swalah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)