Malezi ni kule kuanza kwa zile elimu ndogondogo kabla ya zile kubwakubwa. Wafunze watu misingi, ile misingi muhimu. Wafunze watu yale maswali watakayoulizwa ndani ya kaburi kabla ya kingine chochote: Ni nani Mola wako? Ni ipi dini yako? Ni nani Mtume wako? Haya yanapatikana katika “Usuwl-uth-Thalaathah”, na si katika “Fiy Dhwilaal-il-Qur-aan”.
- Mhusika: ´Allaamah Muhammad Amaan bin ´Aliy al-Jaamiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=DlnW0hU3zNY
- Imechapishwa: 07/02/2021
Malezi ni kule kuanza kwa zile elimu ndogondogo kabla ya zile kubwakubwa. Wafunze watu misingi, ile misingi muhimu. Wafunze watu yale maswali watakayoulizwa ndani ya kaburi kabla ya kingine chochote: Ni nani Mola wako? Ni ipi dini yako? Ni nani Mtume wako? Haya yanapatikana katika “Usuwl-uth-Thalaathah”, na si katika “Fiy Dhwilaal-il-Qur-aan”.
Mhusika: ´Allaamah Muhammad Amaan bin ´Aliy al-Jaamiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=DlnW0hU3zNY
Imechapishwa: 07/02/2021
https://firqatunnajia.com/kitu-cha-kwanza-unachotakiwa-kuwafunza-watu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)