Haafidhw as-Sulaymaan amesema:
“Muhammad bin Naswr al-Marwaziy ni imamu wa maimamu, zawadi tumepewa kutoka mbinguni. Alikuwa anaishi Samarkanda na alimsikia Yahyaa bin Yahyaa, ´Abdaan, ´Abdullaah al-Musnaadiy na Ishaaq. Ametunga kitabu “Ta´dhwiym Qadr-is-Swalaah”, Raf´-ul-Yadayn” na vitabu vyengine vya kimiujiza.”
Hivo ndivo anavosema as-Sulaymaan, lakini Qur-aan pekee ndio miujiza. Kisha akasema:
“Yeye na Swalaah Jazarah walifariki mwaka wa 294.”
- Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Siyar A´laam-in-Nubalaa’ (14/37)
- Imechapishwa: 20/11/2020
Haafidhw as-Sulaymaan amesema:
“Muhammad bin Naswr al-Marwaziy ni imamu wa maimamu, zawadi tumepewa kutoka mbinguni. Alikuwa anaishi Samarkanda na alimsikia Yahyaa bin Yahyaa, ´Abdaan, ´Abdullaah al-Musnaadiy na Ishaaq. Ametunga kitabu “Ta´dhwiym Qadr-is-Swalaah”, Raf´-ul-Yadayn” na vitabu vyengine vya kimiujiza.”
Hivo ndivo anavosema as-Sulaymaan, lakini Qur-aan pekee ndio miujiza. Kisha akasema:
“Yeye na Swalaah Jazarah walifariki mwaka wa 294.”
Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Siyar A´laam-in-Nubalaa’ (14/37)
Imechapishwa: 20/11/2020
https://firqatunnajia.com/kitabu-cha-kipekee-ambacho-ni-miujiza/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)