Swali: Mtu akianza kupangusa kwenye soksi hali ya kuwa ni mkazi kisha akasafiri atatimiza kupangusa akiwa ni msafiri au mkazi?
Jibu: Msafiri. Haya ndio maoni yenye nguvu.
Swali: Mtu akianza kupangusa kwenye soksi hali ya kuwa ni msafiri kisha akarudi katika mji wake atatimiza kupangusa akiwa ni mkazi au msafiri?
Jibu: Atatimiza kupangusa hali ya kuwa ni mkazi. Muda ukiisha ni lazima kwake kuosha miguu yake.
Swali: Inajuzu kwa mtu ambaye anapangusa juu ya soksi kumwongoza katika swalah asiyepangusa?
Jibu: Ndio, inajuzu. Hili ni kama inavyojuzu kwa imamu ambaye amefanya Tayammum kumwongoza ambaye anaswali kwa wudhuu´.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (23)
- Imechapishwa: 02/01/2019
Swali: Mtu akianza kupangusa kwenye soksi hali ya kuwa ni mkazi kisha akasafiri atatimiza kupangusa akiwa ni msafiri au mkazi?
Jibu: Msafiri. Haya ndio maoni yenye nguvu.
Swali: Mtu akianza kupangusa kwenye soksi hali ya kuwa ni msafiri kisha akarudi katika mji wake atatimiza kupangusa akiwa ni mkazi au msafiri?
Jibu: Atatimiza kupangusa hali ya kuwa ni mkazi. Muda ukiisha ni lazima kwake kuosha miguu yake.
Swali: Inajuzu kwa mtu ambaye anapangusa juu ya soksi kumwongoza katika swalah asiyepangusa?
Jibu: Ndio, inajuzu. Hili ni kama inavyojuzu kwa imamu ambaye amefanya Tayammum kumwongoza ambaye anaswali kwa wudhuu´.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (23)
Imechapishwa: 02/01/2019
https://firqatunnajia.com/kinachozingatiwa-katika-kupangusa-juu-ya-soksi-ni-ile-hali-ya-mwisho-kwa-mtazamo-wa-ibn-uthaymiyn-ii/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)