Swali: Mwanamke akila siku moja ya Ramadhaan na akachelewa kuilipa mpaka akaingiliwa na Ramadhaan nyingine – ni kipi kinachomlazimu hivi sasa?
Jibu: Ikiwa alichelewesha kulipa kwa sababu ya udhuru mpaka akaingiliwa na Ramadhaan ya pili hakuna kinachomlazimu isipokuwa kulipa baada ya kumaliza hiyo Ramadhaan ya pili. Ama ikiwa alichelewesha pasi na udhuru basi analazimika kufanya mambo mawili:
1- Kulipa. Ni lazima kwake kulipa baada ya Ramadhaan aliyomo.
2- Kulisha masikini kwa kila siku moja. Hii ni kafara kwa kule kuchelewesha.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Thalaathat-il-Usuwl (07) http://ajurry.com/safrawy/chorohat-elakida/charh-el-osol-el-thalatha/charh-fwzan/07.mp3
- Imechapishwa: 25/01/2019
Swali: Mwanamke akila siku moja ya Ramadhaan na akachelewa kuilipa mpaka akaingiliwa na Ramadhaan nyingine – ni kipi kinachomlazimu hivi sasa?
Jibu: Ikiwa alichelewesha kulipa kwa sababu ya udhuru mpaka akaingiliwa na Ramadhaan ya pili hakuna kinachomlazimu isipokuwa kulipa baada ya kumaliza hiyo Ramadhaan ya pili. Ama ikiwa alichelewesha pasi na udhuru basi analazimika kufanya mambo mawili:
1- Kulipa. Ni lazima kwake kulipa baada ya Ramadhaan aliyomo.
2- Kulisha masikini kwa kila siku moja. Hii ni kafara kwa kule kuchelewesha.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Thalaathat-il-Usuwl (07) http://ajurry.com/safrawy/chorohat-elakida/charh-el-osol-el-thalatha/charh-fwzan/07.mp3
Imechapishwa: 25/01/2019
https://firqatunnajia.com/kinachowalazimu-wanaochelewesha-kulipa-siku-zao-za-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)