Swali: Kuku zinazotoka nchi za nje zinaingia katika mambo yenye kutatiza?
Jibu: Msingi ni kwamba vichinjwa vya Ahl-ul-Kitaab ni halali kwetu. Amesema (Ta´ala):
وَطَعَامُ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ حِلٌّ لَّكُمْ
“Chakula cha wale waliopewa Kitabu ni halali kwenu.” (05:05)
Ahl-ul-Kitaab ni mayahudi na manaswara.
Kuhusiana na vichinjwa vinavyotoka katika miji ya kikomunisti si halali. Wao si Ahl-ul-Kitaab. Mtu akitatizika na asijue kama wanachinja au hawachinji kwa njia ya Kiislamu, basi vinaingia katika mambo yenye kutatiza. Katika hali hiyo itatakiwa kujiepusha navyo. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Kiache kile chenye kukutia mashaka na kiendee kile kisichokutia mashaka.”
Himdi zote anastahiki Allaah kuku leo zimeenea katika nchi za Kiislamu. Mtu anatakiwa kuisalimisha dini yake na wala asije vichinjwa vyenye kutoka nje ikiwa vina mashaka.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (02) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/429/429.mp3
- Imechapishwa: 05/02/2018
Swali: Kuku zinazotoka nchi za nje zinaingia katika mambo yenye kutatiza?
Jibu: Msingi ni kwamba vichinjwa vya Ahl-ul-Kitaab ni halali kwetu. Amesema (Ta´ala):
وَطَعَامُ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ حِلٌّ لَّكُمْ
“Chakula cha wale waliopewa Kitabu ni halali kwenu.” (05:05)
Ahl-ul-Kitaab ni mayahudi na manaswara.
Kuhusiana na vichinjwa vinavyotoka katika miji ya kikomunisti si halali. Wao si Ahl-ul-Kitaab. Mtu akitatizika na asijue kama wanachinja au hawachinji kwa njia ya Kiislamu, basi vinaingia katika mambo yenye kutatiza. Katika hali hiyo itatakiwa kujiepusha navyo. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Kiache kile chenye kukutia mashaka na kiendee kile kisichokutia mashaka.”
Himdi zote anastahiki Allaah kuku leo zimeenea katika nchi za Kiislamu. Mtu anatakiwa kuisalimisha dini yake na wala asije vichinjwa vyenye kutoka nje ikiwa vina mashaka.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (02) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/429/429.mp3
Imechapishwa: 05/02/2018
https://firqatunnajia.com/kimsingi-ni-kwamba-vichinjwa-vya-mayahudi-na-manaswara-ni-halali-kwa-waislamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)