Swali: Mimi nalipa bima ya kazi. Nikichelewa kulipa ada ya kila mwezi ninalipa kiwango cha ziada kama faini. Ni ipi hukumu ya ziada hii?
Jibu: Bima zote ni haramu. Bima ni haramu sawa za kazi na nyenginezo. Ni haramu sawa ikitokea mtu amelipa kiwango cha ziada au hakufanya hivo. Zote ni haramu. Bima ni haramu. Idara za Fiqh na baraza la Kibaar-ul-´Ulamaa wamethibitisha kuwa ni haramu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (15) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsir_27-07-1433.mp3
- Imechapishwa: 23/05/2018
Swali: Mimi nalipa bima ya kazi. Nikichelewa kulipa ada ya kila mwezi ninalipa kiwango cha ziada kama faini. Ni ipi hukumu ya ziada hii?
Jibu: Bima zote ni haramu. Bima ni haramu sawa za kazi na nyenginezo. Ni haramu sawa ikitokea mtu amelipa kiwango cha ziada au hakufanya hivo. Zote ni haramu. Bima ni haramu. Idara za Fiqh na baraza la Kibaar-ul-´Ulamaa wamethibitisha kuwa ni haramu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (15) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsir_27-07-1433.mp3
Imechapishwa: 23/05/2018
https://firqatunnajia.com/kimsingi-bima-zote-ni-haramu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)