Swali: Vipi inapanguswa bendeji? Ni lazima kupangusa yote?
Jibu: Bendeji yote. Bendeji yote inatakiwa kupanguswa. Haitoshi kupangusa sehemu yake. Inachukua nafasi ya kiungo kilichotakiwa kupanguswa.
Swali: Kilemba pia ni lazima kukipangusa chote?
Jibu: Ni kama kichwa, chote kinatakiwa kupanguswa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (5) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–01041434.mp3
- Imechapishwa: 20/10/2016
Swali: Vipi inapanguswa bendeji? Ni lazima kupangusa yote?
Jibu: Bendeji yote. Bendeji yote inatakiwa kupanguswa. Haitoshi kupangusa sehemu yake. Inachukua nafasi ya kiungo kilichotakiwa kupanguswa.
Swali: Kilemba pia ni lazima kukipangusa chote?
Jibu: Ni kama kichwa, chote kinatakiwa kupanguswa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (5) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–01041434.mp3
Imechapishwa: 20/10/2016
https://firqatunnajia.com/kilemba-na-bendeji-yote-inatakiwa-kupanguswa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)