Swali: Je, muislamu na kafiri wote wawili wana Malaika walinzi wanaowalinda kwa amri ya Allaah na Malaika wanaoandika matendo yao?
Jibu: Hapana shaka. Hapana shaka ya kwamba wako na muislamu na kafiri pia.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (70) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighatsah%20-%2019%20-0%207%20-%201438.mp3
Swali: Je, muislamu na kafiri wote wawili wana Malaika walinzi wanaowalinda kwa amri ya Allaah na Malaika wanaoandika matendo yao?
Jibu: Hapana shaka. Hapana shaka ya kwamba wako na muislamu na kafiri pia.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (70) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighatsah%20-%2019%20-0%207%20-%201438.mp3
https://firqatunnajia.com/kila-mmoja-ana-malaika-walinzi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)