Swali 407: Mfungaji akitumia sehemu kubwa ya mchana wake akipumzika kwa sababu ya njaa na kiu kali – je, kitendo hicho kinaathiri juu ya kusihi kwa swawm yake?
Jibu: Hili haliathiri kusihi kwa swamw yake. Ndani yake kuna thawabu zaidi kutokana na maneno ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kumwambia ´Aaishah:
“Ujira wako ni kwa kiwango cha kuchoka kwako.”
Kila ambavyo mtu kuchoka zaidi katika kumtii Allaah basi ndivo thawabu zake zinavyozidi. Inafaa kwake kuyafanya yale mambo ambayo yatampunguzia swawm yake kama kujimwagia maji kwa ajili ya kupata baridi kidogo na kukaa sehemu ya kijibaridi.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Arkaan-il-Islaam, uk. 466
- Imechapishwa: 08/05/2019
Swali 407: Mfungaji akitumia sehemu kubwa ya mchana wake akipumzika kwa sababu ya njaa na kiu kali – je, kitendo hicho kinaathiri juu ya kusihi kwa swawm yake?
Jibu: Hili haliathiri kusihi kwa swamw yake. Ndani yake kuna thawabu zaidi kutokana na maneno ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kumwambia ´Aaishah:
“Ujira wako ni kwa kiwango cha kuchoka kwako.”
Kila ambavyo mtu kuchoka zaidi katika kumtii Allaah basi ndivo thawabu zake zinavyozidi. Inafaa kwake kuyafanya yale mambo ambayo yatampunguzia swawm yake kama kujimwagia maji kwa ajili ya kupata baridi kidogo na kukaa sehemu ya kijibaridi.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Arkaan-il-Islaam, uk. 466
Imechapishwa: 08/05/2019
https://firqatunnajia.com/kila-ambavyo-swawm-inambamba-mtu-ndivo-thawabu-zinakuwa-nyingi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)