Swali: Kuna mwanamke aliye na umri wa miaka sabini anataka kuhiji na kuja Makkah pasi na Mahram. Ni ipi hukumu?
al-Fawzaan: Anatokea wapi?
Jibu: Tunisia.
al-Fawzaan: Hapana, haijuzu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Si halali kwa mwanamke anayemwamini Allaah na siku ya Mwisho kusafiri isipokuwa awe pamoja naye Mahram.”
Haijalishi kitu sawa iwe Tunisia au kwenginepo. Haijalishi kitu sawa iwe ni hajj au kwenginepo. Ikiwa hana Mahram yoyote basi awakilishe mtu amuhijie.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (13) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-08-09.mp3
- Imechapishwa: 27/05/2018
Swali: Kuna mwanamke aliye na umri wa miaka sabini anataka kuhiji na kuja Makkah pasi na Mahram. Ni ipi hukumu?
al-Fawzaan: Anatokea wapi?
Jibu: Tunisia.
al-Fawzaan: Hapana, haijuzu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Si halali kwa mwanamke anayemwamini Allaah na siku ya Mwisho kusafiri isipokuwa awe pamoja naye Mahram.”
Haijalishi kitu sawa iwe Tunisia au kwenginepo. Haijalishi kitu sawa iwe ni hajj au kwenginepo. Ikiwa hana Mahram yoyote basi awakilishe mtu amuhijie.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (13) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-08-09.mp3
Imechapishwa: 27/05/2018
https://firqatunnajia.com/kikongwe-anahitajia-mahram-safarini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)