Swali: Ni ipi hukumu ya kuweka kifaa cha umeme kinacholeta joto mbele ya waswaliji wakati wako wanaswali? Je, kuna makatazo ya Kishari´ah yaliyopokelewa juu ya hilo?
Jibu: Hakuna neno kuweka kifaa cha umeme kinacholeta joto upande wa Qiblah wa msikiti mbele ya waswaliji. Sijui juu ya jambo hilo makatazo yoyote ya Kishari´ah.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Arkaan-il-Islaam, uk. 344
- Imechapishwa: 09/05/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kuweka kifaa cha umeme kinacholeta joto mbele ya waswaliji wakati wako wanaswali? Je, kuna makatazo ya Kishari´ah yaliyopokelewa juu ya hilo?
Jibu: Hakuna neno kuweka kifaa cha umeme kinacholeta joto upande wa Qiblah wa msikiti mbele ya waswaliji. Sijui juu ya jambo hilo makatazo yoyote ya Kishari´ah.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Arkaan-il-Islaam, uk. 344
Imechapishwa: 09/05/2020
https://firqatunnajia.com/kifaa-cha-umeme-mbele-ya-mswaliji/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)