Swali: Ni kipi kidhibiti cha kutoa zakaah sawa iwe kutoka kwa baba kwenda kwa mwana au kutoka kwa mwana kwenda kwa baba?
Jibu: Kidhibiti ni kile tulichotaja: ya kwamba asitoe kumpa yule ambaye ni wajibu kwake kumhudumia. Akitoa kumpa mtoto au baba kwa sababu ya matumizi na watu hao ilihali ni miongoni mwa wale watu ambao anawajibika kuwahudumia haisihi. Vilevile akitoa katika kulipa deni au mfano wa hayo katika mambo ambayo hayamuwajibikii inasihi.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (41) http://binothaimeen.net/content/1520
- Imechapishwa: 03/11/2018
Swali: Ni kipi kidhibiti cha kutoa zakaah sawa iwe kutoka kwa baba kwenda kwa mwana au kutoka kwa mwana kwenda kwa baba?
Jibu: Kidhibiti ni kile tulichotaja: ya kwamba asitoe kumpa yule ambaye ni wajibu kwake kumhudumia. Akitoa kumpa mtoto au baba kwa sababu ya matumizi na watu hao ilihali ni miongoni mwa wale watu ambao anawajibika kuwahudumia haisihi. Vilevile akitoa katika kulipa deni au mfano wa hayo katika mambo ambayo hayamuwajibikii inasihi.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (41) http://binothaimeen.net/content/1520
Imechapishwa: 03/11/2018
https://firqatunnajia.com/kidhibiti-wakati-wa-kutoa-zakaah-kwa-ndugu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)