Sifa za Allaah zimegawanyika aina mbili:
1 – Sifa za dhati.
2 – Sifa za kimatendo.
Sifa za kidhati kidhibiti chake ni kwamba haziachani na Mola. Kwa mfano wa hayaa, elimu, uwezo, usikivu na kuona.
Sifa za kimatendo ni zile ambazo zimefungamana na matakwa na utashi. Kwa mfano kushuka, kulingana [al-Istiwaa´], kuhuisha, kufisha, kuridhia, kughadhibika, kuchukia, kukasirika na nyinginezo katika sifa za kimatendo.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Hidaayah ar-Rabbaaniyyah fiy Sharh al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah (01/74)
- Imechapishwa: 31/05/2020
Sifa za Allaah zimegawanyika aina mbili:
1 – Sifa za dhati.
2 – Sifa za kimatendo.
Sifa za kidhati kidhibiti chake ni kwamba haziachani na Mola. Kwa mfano wa hayaa, elimu, uwezo, usikivu na kuona.
Sifa za kimatendo ni zile ambazo zimefungamana na matakwa na utashi. Kwa mfano kushuka, kulingana [al-Istiwaa´], kuhuisha, kufisha, kuridhia, kughadhibika, kuchukia, kukasirika na nyinginezo katika sifa za kimatendo.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Hidaayah ar-Rabbaaniyyah fiy Sharh al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah (01/74)
Imechapishwa: 31/05/2020
https://firqatunnajia.com/kidhibiti-cha-kujua-sifa-za-kidhati-na-kimatendo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)