Swali: Je, inajuzu kula nyama iliyochinjwa kwenye maulidi ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) au maulidi nyinginezo?
Jibu: Vyenye kuchinjwa kwenye maulidi ya Mtume au walii kwa ajili ya kumuadhimisha ni katika vilivyochinjwa kwa ajili ya asiyekuwa Allaah, jambo ambalo ni shirki. Haijuzu kuila. Imethibiti kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Allaah amemlaani mwenye kuchinja kwa ajili ya asiyekuwa Allaah.”
- Mhusika: al-Najnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Najnah ad-Daaimah (01/135)
- Imechapishwa: 06/10/2020
Swali: Je, inajuzu kula nyama iliyochinjwa kwenye maulidi ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) au maulidi nyinginezo?
Jibu: Vyenye kuchinjwa kwenye maulidi ya Mtume au walii kwa ajili ya kumuadhimisha ni katika vilivyochinjwa kwa ajili ya asiyekuwa Allaah, jambo ambalo ni shirki. Haijuzu kuila. Imethibiti kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Allaah amemlaani mwenye kuchinja kwa ajili ya asiyekuwa Allaah.”
Mhusika: al-Najnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Najnah ad-Daaimah (01/135)
Imechapishwa: 06/10/2020
https://firqatunnajia.com/kichinjwa-cha-kwenye-maulidi-haifai-kukila/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)