Swali: Ni ipi hukumu ya kichinjwa cha asiyeswali?
Jibu: Haifai kula chakula cha asiyeswali. Kwa sababu sio muislamu. Mwenye kuacha swalah kwa kukusudia ametoka katika Uislamu na hivyo kisiliwe kichinjwa chake mpaka pale atapotubu kwa Allaah (´Azza wa Jall), asimamishe swalah na asimamishe dini yake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/02-02.mp3
- Imechapishwa: 20/11/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya kichinjwa cha asiyeswali?
Jibu: Haifai kula chakula cha asiyeswali. Kwa sababu sio muislamu. Mwenye kuacha swalah kwa kukusudia ametoka katika Uislamu na hivyo kisiliwe kichinjwa chake mpaka pale atapotubu kwa Allaah (´Azza wa Jall), asimamishe swalah na asimamishe dini yake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/02-02.mp3
Imechapishwa: 20/11/2017
https://firqatunnajia.com/kichinjwa-cha-asiyeswali-ni-haramu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)