Swali: Ni ipi hukumu ya usahihi wa maneno yanayosema kwamba swalah ya ambaye nguo yake inavuka kongo mbili za miguu kuna khatari isikubaliwe? Je, huyu dhambi yake inakuwa kubwa zaidi kuliko ambaye anakula ribaa, mzinzi na mwenye kuwaasi wazazi wake? Tunataraji kuwekewa wazi na Allaah akujaze kheri.
Jibu: Wanachuoni wengi wanaona kuwa swalah ya ambaye nguo yake inavuka kongo mbili za miguu akiswali swalah yake haikubaliwi. Kwa sababu ameswali kwa nguo ambayo ni haramu kwake. Lakini hata hivyo maoni yenye nguvu kwamba ni kwamba swalah yake ni yenye kukubaliwa pamoja na kuwa anapata dhambi.
Ama kumlinganisha kati yake na kuwa na utovu kwa wazazi wawili na kuwakata ndugu ni jambo lisiloyumkinika. Kwa sababu mambo haya Allaah (´Azza wa Jall) ameyatishia. Mathamanisho ya nguo na adhabu ni jambo liko kwa Allaah (´Azza wa Jall).
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (74) http://binothaimeen.net/content/1728
- Imechapishwa: 24/08/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya usahihi wa maneno yanayosema kwamba swalah ya ambaye nguo yake inavuka kongo mbili za miguu kuna khatari isikubaliwe? Je, huyu dhambi yake inakuwa kubwa zaidi kuliko ambaye anakula ribaa, mzinzi na mwenye kuwaasi wazazi wake? Tunataraji kuwekewa wazi na Allaah akujaze kheri.
Jibu: Wanachuoni wengi wanaona kuwa swalah ya ambaye nguo yake inavuka kongo mbili za miguu akiswali swalah yake haikubaliwi. Kwa sababu ameswali kwa nguo ambayo ni haramu kwake. Lakini hata hivyo maoni yenye nguvu kwamba ni kwamba swalah yake ni yenye kukubaliwa pamoja na kuwa anapata dhambi.
Ama kumlinganisha kati yake na kuwa na utovu kwa wazazi wawili na kuwakata ndugu ni jambo lisiloyumkinika. Kwa sababu mambo haya Allaah (´Azza wa Jall) ameyatishia. Mathamanisho ya nguo na adhabu ni jambo liko kwa Allaah (´Azza wa Jall).
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (74) http://binothaimeen.net/content/1728
Imechapishwa: 24/08/2020
https://firqatunnajia.com/khatari-ya-kuswali-na-nguo-yenye-kuvuka-kongo-mbili-za-miguu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)