Swali: Leo tunawaona baadhi ya watu wanawaambia wengine wanyoe ndevu zao na kwamba eti wasiziache na kwamba kufanya hivo ndio wanaonekana wazuri zaidi au wakati mwingine wanawaambia kwamba Allaah hakuwaumba wakiwa na ndevu. Je, maneno haya yanahesabika ni kuritadi kutoka katika Uislamu?
Jibu: Ndio, yanaweza kuhesabika kuwa ni kuritadi kutoka katika Uislamu. Akichukia maamrisho ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ya kufuga ndevu na akachukia Sunnah na maamrisho yake yanayokataza juu ya kuzinyoa na kuzikata, huku ni kuritadi kutoka katika Uislamu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam https://ajurry.com/safrawy/chorohat-elakida/chorohat-nawakid-elislam/charh-salah-fawzan/04.mp3
- Imechapishwa: 29/11/2018
Swali: Leo tunawaona baadhi ya watu wanawaambia wengine wanyoe ndevu zao na kwamba eti wasiziache na kwamba kufanya hivo ndio wanaonekana wazuri zaidi au wakati mwingine wanawaambia kwamba Allaah hakuwaumba wakiwa na ndevu. Je, maneno haya yanahesabika ni kuritadi kutoka katika Uislamu?
Jibu: Ndio, yanaweza kuhesabika kuwa ni kuritadi kutoka katika Uislamu. Akichukia maamrisho ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ya kufuga ndevu na akachukia Sunnah na maamrisho yake yanayokataza juu ya kuzinyoa na kuzikata, huku ni kuritadi kutoka katika Uislamu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam https://ajurry.com/safrawy/chorohat-elakida/chorohat-nawakid-elislam/charh-salah-fawzan/04.mp3
Imechapishwa: 29/11/2018
https://firqatunnajia.com/khatari-juu-ya-muislamu-anayechukia-ndevu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)