Swali: Baadhi ya walinganizi katika makundi ya usafiri wanawatolea wahujaji fatwa kwamba inafaa kurusha vijiwe kwenye nguzo kabla ya Dhuhr…
Jibu: Haijuzu. Fatwa hizi ni za makosa. Hawana idhini ya kutoa fatwa. Fatwa ina mamlaka maalum ambayo mahujaji wanatakiwa kuiendea. Masuala haya ni muhimu. Si kila mtu atoe fatwa, acheze na wakazibadilisha ´ibaadah za watu. Hakuna neno wakawahimiza juu ya kumwabudu Allaah, kumcha Allaah, kumdhuru Allaah, kuswali, kumtii Allaah na kadhalika, lakini kutoa fatwa wawaachie wale watu wenye kustahiki.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (23) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-13-2-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 17/04/2020
Swali: Baadhi ya walinganizi katika makundi ya usafiri wanawatolea wahujaji fatwa kwamba inafaa kurusha vijiwe kwenye nguzo kabla ya Dhuhr…
Jibu: Haijuzu. Fatwa hizi ni za makosa. Hawana idhini ya kutoa fatwa. Fatwa ina mamlaka maalum ambayo mahujaji wanatakiwa kuiendea. Masuala haya ni muhimu. Si kila mtu atoe fatwa, acheze na wakazibadilisha ´ibaadah za watu. Hakuna neno wakawahimiza juu ya kumwabudu Allaah, kumcha Allaah, kumdhuru Allaah, kuswali, kumtii Allaah na kadhalika, lakini kutoa fatwa wawaachie wale watu wenye kustahiki.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (23) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-13-2-1435-01.mp3
Imechapishwa: 17/04/2020
https://firqatunnajia.com/kazi-ya-walinganizi-wanapopeleka-watu-hajj-na-umrah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)