Swali: Katika mji wetu kuna mapote na uchaguzi. Je, inajuzu kwetu kushiriki ili tuweze kuchagua aliye afadhali na mwenye madhara khafifu katika dini yetu.
Jibu: Haya sio katika Uislamu. Katika Uislamu hakuna uchaguzi. Katika Uislamu kiongozi anachaguliwa kwa bay´ah ya Ahl-ul-Hall wal-´Aqd[1] miongoni mwa raia ambao ni wanachuoni na watu wenye mamlaka katika nchi. Waliobaki wanawafuata Ahl-ul-Hall wal-´Aqd. Haya ndio mafunzo ya Uislamu na hakuna uchaguzi. Hii ni nidhamu isiyokuwa ya Kiislamu.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/ni-kina-nani-ahl-ul-hall-wal-aqd-wanaomteau-mtawala/
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (79) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13596
- Imechapishwa: 22/08/2020
Swali: Katika mji wetu kuna mapote na uchaguzi. Je, inajuzu kwetu kushiriki ili tuweze kuchagua aliye afadhali na mwenye madhara khafifu katika dini yetu.
Jibu: Haya sio katika Uislamu. Katika Uislamu hakuna uchaguzi. Katika Uislamu kiongozi anachaguliwa kwa bay´ah ya Ahl-ul-Hall wal-´Aqd[1] miongoni mwa raia ambao ni wanachuoni na watu wenye mamlaka katika nchi. Waliobaki wanawafuata Ahl-ul-Hall wal-´Aqd. Haya ndio mafunzo ya Uislamu na hakuna uchaguzi. Hii ni nidhamu isiyokuwa ya Kiislamu.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/ni-kina-nani-ahl-ul-hall-wal-aqd-wanaomteau-mtawala/
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (79) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13596
Imechapishwa: 22/08/2020
https://firqatunnajia.com/katika-uislamu-hakuna-upigaji-kura/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)