Swali: Je, imesuniwa kwa imamu kukhutubu akiwa juu ya mimbari katika swalah ya ´Iyd?
Jibu: Ndio. Baadhi ya wanachuoni wanaonelea kuwa ndio Sunnah. Kwa sababu katika Hadiyth ya Jaabir (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliwakhutubia watu halafu akaeleza:
“Kisha akateremka na kuwaendea wanawake.”
Wametumia hoja kwamba kuteremka hakukuwi isipokuwa kutokea sehemu iliyo juu. Hivi ndivo wanavofanya watu.
Wanachuoni wengine wanaonelea kuwa bora ni kutoa Khutbah bila mimbari. Jambo hili lina wasaa ndani yake – Allaah akitaka.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawa (16/250)
- Imechapishwa: 14/06/2018
Swali: Je, imesuniwa kwa imamu kukhutubu akiwa juu ya mimbari katika swalah ya ´Iyd?
Jibu: Ndio. Baadhi ya wanachuoni wanaonelea kuwa ndio Sunnah. Kwa sababu katika Hadiyth ya Jaabir (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliwakhutubia watu halafu akaeleza:
“Kisha akateremka na kuwaendea wanawake.”
Wametumia hoja kwamba kuteremka hakukuwi isipokuwa kutokea sehemu iliyo juu. Hivi ndivo wanavofanya watu.
Wanachuoni wengine wanaonelea kuwa bora ni kutoa Khutbah bila mimbari. Jambo hili lina wasaa ndani yake – Allaah akitaka.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawa (16/250)
Imechapishwa: 14/06/2018
https://firqatunnajia.com/katika-swalah-ya-iyd-imamu-akukhutubu-akiwa-juu-ya-mimbari/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)