Swali: Je, ni lazima kwa mwanamke kutoa kafara kama mume wake amemlazimisha kufanya jimaa mchana wa Ramadhaan?
Jibu: Akilazimishwa ulazimisho kwa njia ya kwamba hakuwa na namna ya kumkwepa, halazimiki kutoa kafara. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Ummah wangu umesamehewa makosa, kusahau na yale waliyotenzwa nguvu kwayo.”
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (96) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igahthat-12021440h.mp3
- Imechapishwa: 28/05/2019
Swali: Je, ni lazima kwa mwanamke kutoa kafara kama mume wake amemlazimisha kufanya jimaa mchana wa Ramadhaan?
Jibu: Akilazimishwa ulazimisho kwa njia ya kwamba hakuwa na namna ya kumkwepa, halazimiki kutoa kafara. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Ummah wangu umesamehewa makosa, kusahau na yale waliyotenzwa nguvu kwayo.”
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (96) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igahthat-12021440h.mp3
Imechapishwa: 28/05/2019
https://firqatunnajia.com/katika-hali-hii-mke-halazimiki-kutoa-kafara/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)