Swali: Kufanya uvuaji katika kiapo kwa utashi kunaondosha kafara?
Jibu: Mtu akisema “Ninaapa kwa jina la Allaah kwamba nitafanya kitu fulani – Allaah akitaka” au akasema “Ninaapa kwa jina la Allaah kwamba nitasafiri kesho – Allaah akitaka” kisha asifanye na wala asisafiri, basi kiapo hakifungiki. Kwa sababu amekifungamanisha na matakwa ya Allaah. Vivyo hivyo akisema “Ninaapa kwa jina la Allaah kwamba sintokula chakula cha fulani – Allaah akitaka” kisha akala chakula chake basi kiapo hakifunguki. Lakini asipokifungamanisha kiapo na matakwa na wala asitimize alichokiapia basi kinafungika na ni lazima kwake kutoa kafara.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (13) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191589#219913
- Imechapishwa: 21/02/2020
Swali: Kufanya uvuaji katika kiapo kwa utashi kunaondosha kafara?
Jibu: Mtu akisema “Ninaapa kwa jina la Allaah kwamba nitafanya kitu fulani – Allaah akitaka” au akasema “Ninaapa kwa jina la Allaah kwamba nitasafiri kesho – Allaah akitaka” kisha asifanye na wala asisafiri, basi kiapo hakifungiki. Kwa sababu amekifungamanisha na matakwa ya Allaah. Vivyo hivyo akisema “Ninaapa kwa jina la Allaah kwamba sintokula chakula cha fulani – Allaah akitaka” kisha akala chakula chake basi kiapo hakifunguki. Lakini asipokifungamanisha kiapo na matakwa na wala asitimize alichokiapia basi kinafungika na ni lazima kwake kutoa kafara.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (13) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191589#219913
Imechapishwa: 21/02/2020
https://firqatunnajia.com/katika-hali-hii-kiapo-hakifungiki/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)