Swali: Mwanamke kuchukua kutoka katika mali ya mumewe kwa ajili ya haja zake ni sharti apate idhini ya mume?
Jibu: Hapana, haikushurutishwa. Hind (Radhiya Allaahu ´anhaa) alisema: ”Ee Mtume wa Allaah! Hakika Abu Sufyaan ni mwanamme bakhili sana na wala hanipi mimi na wana wangu kinachotutosheleza isipokuwa kile ninachochukua kutoka katika mali yake pasi na yeye kujua. Je, napata dhambi?” Akasema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
”Chukua kutoka katika mali yake kwa wema kile kinachokutosheleza wewe na wanao pasi na idhini yake.”
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaad-ud-Duruus https://binbaz.org.sa/fatwas/6185/%D9%87%D9%84-%D9%8A%D8%AC%D9%88%D8%B2-%D8%A7%D8%AE%D8%B0-%D8%A7%D9%84%D9%85%D8%B1%D8%A7%D8%A9-%D9%85%D9%86-%D9%85%D8%A7%D9%84-%D8%B2%D9%88%D8%AC%D9%87%D8%A7-%D9%84%D8%AD%D8%A7%D8%AC%D8%AA%D9%87%D8%A7
- Imechapishwa: 02/12/2020
Swali: Mwanamke kuchukua kutoka katika mali ya mumewe kwa ajili ya haja zake ni sharti apate idhini ya mume?
Jibu: Hapana, haikushurutishwa. Hind (Radhiya Allaahu ´anhaa) alisema: ”Ee Mtume wa Allaah! Hakika Abu Sufyaan ni mwanamme bakhili sana na wala hanipi mimi na wana wangu kinachotutosheleza isipokuwa kile ninachochukua kutoka katika mali yake pasi na yeye kujua. Je, napata dhambi?” Akasema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
”Chukua kutoka katika mali yake kwa wema kile kinachokutosheleza wewe na wanao pasi na idhini yake.”
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaad-ud-Duruus https://binbaz.org.sa/fatwas/6185/%D9%87%D9%84-%D9%8A%D8%AC%D9%88%D8%B2-%D8%A7%D8%AE%D8%B0-%D8%A7%D9%84%D9%85%D8%B1%D8%A7%D8%A9-%D9%85%D9%86-%D9%85%D8%A7%D9%84-%D8%B2%D9%88%D8%AC%D9%87%D8%A7-%D9%84%D8%AD%D8%A7%D8%AC%D8%AA%D9%87%D8%A7
Imechapishwa: 02/12/2020
https://firqatunnajia.com/katika-hali-hii-chukua-mali-ya-mumewe/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)