Swali: Kuna mtu alinunua gari na baada ya masiku kadhaa ikambainikia kuwa gari hii ina kasoro katika injini ambayo ni kuhitajia mafuta kila wakati. Je, ana haki ya kurudisha kutokana na ulaghai?
Jibu: Ndio. Linaingia chini ya haki ya kurudisha kutokana na kasoro. Isipokuwa kama alikuwa amemuwekea sharti hapo kabla ya kwamba iko na kasoro na akaridhia kasoro hiyo, katika hali hiyo hana haki ya kurudisha.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (28)
- Imechapishwa: 29/01/2022
Swali: Kuna mtu alinunua gari na baada ya masiku kadhaa ikambainikia kuwa gari hii ina kasoro katika injini ambayo ni kuhitajia mafuta kila wakati. Je, ana haki ya kurudisha kutokana na ulaghai?
Jibu: Ndio. Linaingia chini ya haki ya kurudisha kutokana na kasoro. Isipokuwa kama alikuwa amemuwekea sharti hapo kabla ya kwamba iko na kasoro na akaridhia kasoro hiyo, katika hali hiyo hana haki ya kurudisha.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (28)
Imechapishwa: 29/01/2022
https://firqatunnajia.com/kasoro-katika-injini-ya-gari/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)