Swali: Atakayefunga mwezi wa Muharram wote au baadhi ya siku chache, je kitendo chake hiki kapatia?
Jibu: Ndio ni sahihi. Muulizaji anasema kwa kuwa nimesikia katika Hadiyth:
“Swawm bora kwa Allaah baada ya Ramadhaan ni swawm ya mwezi wa Allaah Muharram.
“Jibu ni ndio. Hadiyth hii ni sahihi.
- Mhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Waswaabiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.olamayemen.net/Default_ar.aspx?ID=4708
- Imechapishwa: 26/08/2020
Swali: Atakayefunga mwezi wa Muharram wote au baadhi ya siku chache, je kitendo chake hiki kapatia?
Jibu: Ndio ni sahihi. Muulizaji anasema kwa kuwa nimesikia katika Hadiyth:
“Swawm bora kwa Allaah baada ya Ramadhaan ni swawm ya mwezi wa Allaah Muharram.
“Jibu ni ndio. Hadiyth hii ni sahihi.
Mhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Waswaabiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.olamayemen.net/Default_ar.aspx?ID=4708
Imechapishwa: 26/08/2020
https://firqatunnajia.com/kapatia-ambaye-kafunga-mwezi-mzima-wa-muharram/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)