Swali: Je, kanda inatosheleza kutokamana na kusoma Suurah (al-Baqarah)[1]?
Jibu: Hapana.
[1] Bi maana kutekeleza Hadiyth ya Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ambayo amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Msiyafanye majumba yenu kuwa ni makaburi. Kwani hakika shaytwaan hukimbia ndani ya nyumba kunasomwa ndani yake Suurah al-Baqarah.” (Muslim 29/780)).
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sa-altu Abiy, uk. 35
- Imechapishwa: 01/07/2022
Swali: Je, kanda inatosheleza kutokamana na kusoma Suurah (al-Baqarah)[1]?
Jibu: Hapana.
[1] Bi maana kutekeleza Hadiyth ya Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ambayo amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Msiyafanye majumba yenu kuwa ni makaburi. Kwani hakika shaytwaan hukimbia ndani ya nyumba kunasomwa ndani yake Suurah al-Baqarah.” (Muslim 29/780)).
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sa-altu Abiy, uk. 35
Imechapishwa: 01/07/2022
https://firqatunnajia.com/kanda-na-kaseti-haishiki-nafasi-ya-msomaji/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)