Swali: Baadhi ya kalamu zimeandikwa jina tukufu la Allaah kama vile ´Abdullaah na mfano wake. Ni ipi hukumu ya kuingia nazo chooni?
Jibu: Usiingie nazo kama mfano wa pete. Mtume alikuwa na pete imeandikwa “Muhammad Mtume wa Allaah” na alikuwa akiivua wakati anapoingia chooni. Isipokuwa akichelea kuwa itapotea katika hali hiyo anakuwa ni mwenye kupewa udhuru. Bora ni kutoandika juu ya kalamu chochote kilichoandikwa utajo wa Allaah.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (19)
- Imechapishwa: 05/03/2021
Swali: Baadhi ya kalamu zimeandikwa jina tukufu la Allaah kama vile ´Abdullaah na mfano wake. Ni ipi hukumu ya kuingia nazo chooni?
Jibu: Usiingie nazo kama mfano wa pete. Mtume alikuwa na pete imeandikwa “Muhammad Mtume wa Allaah” na alikuwa akiivua wakati anapoingia chooni. Isipokuwa akichelea kuwa itapotea katika hali hiyo anakuwa ni mwenye kupewa udhuru. Bora ni kutoandika juu ya kalamu chochote kilichoandikwa utajo wa Allaah.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (19)
Imechapishwa: 05/03/2021
https://firqatunnajia.com/kalamu-iliyoandikwa-allaah-kuingia-nayo-chooni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)