Swali: Inajuzu kumwacha kafiri akagusa Qur-aan iliyotarjumiwa kwa lugha ya kingereza?

Jibu: Sio Qur-aan anayogusa bali anachogusa ni tafsiri ya maana ya Qur-aan. Hakuna neno. Lakini Qur-aan asiiguse:

إِنَّهُ لَقُرْآنٌ كَرِيمٌ فِي كِتَابٍ مَّكْنُونٍ لَّا يَمَسُّهُ إِلَّا الْمُطَهَّرُونَ

“Hakika hii ni Qur-aan tukufu. Katika Kitabu kilichohifadhiwa. Haigusi isipokuwa waliotakaswa kabisa.”[1]

[1] 56:77-79

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (94) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/%D8%A5%D8%BA%D8%A7%D8%AB%D8%A9%20%D8%A7%D9%84%D9%84%D9%87%D9%81%D8%A7%D9%86-27-01-1440%D9%87%D9%80.mp3
  • Imechapishwa: 22/02/2019