Swali: Kafiri aliyepewa amani katika nchi ya Kiislamu aachwe kutekeleza dini yake nyumbani kwake au ni wajibu kumkataza jambo hilo?
Jibu: Ikiwa anajificha aachwe. Kwa sababu shari yake imeaminiwa, watu hawamuoni. Hata hivyo asionyeshe hayo wazi katika nchi ya Kiislamu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (50) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah%20Fiqh-06-05-1437.mp3
- Imechapishwa: 15/03/2019
Swali: Kafiri aliyepewa amani katika nchi ya Kiislamu aachwe kutekeleza dini yake nyumbani kwake au ni wajibu kumkataza jambo hilo?
Jibu: Ikiwa anajificha aachwe. Kwa sababu shari yake imeaminiwa, watu hawamuoni. Hata hivyo asionyeshe hayo wazi katika nchi ya Kiislamu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (50) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah%20Fiqh-06-05-1437.mp3
Imechapishwa: 15/03/2019
https://firqatunnajia.com/kafiri-aliyepewa-amani-atendee-kazi-dini-yake-nyumbani-kwake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)