Swali 709: Ni ipi kafara ya lazima kwa ambaye kamjamii mwenye hedhi?
Jibu: Ni lazima kwa aliyemjamii mwenye hedhi kutoa kafara ya dinari au nusu ya dinari. Ni jambo limepokelewa kutoka kwa Ibn ´Abbaas (Radhiya Allaahu ´anhumaa). Kwa sababu ni kafara kama inavokuwa katika kiapo. Inakuwa ni kafara kwa kutenda maasi hali ya kutarajiwa yafanywa mepesi. Ni miongoni mwa mambo yanayoikamilisha tawbah.
- Mhusika: Imaam ´Abdur-Rahmaan bin Naaswir as-Sa´diy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 276
- Imechapishwa: 29/07/2019
Swali 709: Ni ipi kafara ya lazima kwa ambaye kamjamii mwenye hedhi?
Jibu: Ni lazima kwa aliyemjamii mwenye hedhi kutoa kafara ya dinari au nusu ya dinari. Ni jambo limepokelewa kutoka kwa Ibn ´Abbaas (Radhiya Allaahu ´anhumaa). Kwa sababu ni kafara kama inavokuwa katika kiapo. Inakuwa ni kafara kwa kutenda maasi hali ya kutarajiwa yafanywa mepesi. Ni miongoni mwa mambo yanayoikamilisha tawbah.
Mhusika: Imaam ´Abdur-Rahmaan bin Naaswir as-Sa´diy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 276
Imechapishwa: 29/07/2019
https://firqatunnajia.com/kafara-kwa-mwenye-kumjamii-mwenye-hedhi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)